matukio burudani injili uimbaji maisha sanaa muziki maigizo habari maajabu vichekesho maendeleo mafanikio uchumi lugha maono mahubiri nyimbo biblia siasa

Apr 18, 2012

NYIMBO YA WIKI HII- INAITWA DUNIA IMEKWISHA KUTOKA KWAKE PIUS SENYAGWA WA IYELELETEAM LABEL


Find more music like this on G5 world



LYRICS YA DUNIA IMEKWISHA

He heh eheeeeeeeeeeeeee  heeeee
Dunia imekwisha ewe baba yangu
Dunia imekwisha ewe mama yangu
Tazama maasi yameongezeka aa aa
Ugaidi nao umekithiri iii iii


Watoto wetu nao wanaharibiwa,
Wanabakwa kila kukicha,
Vijana wetu wanaharika,
Ushoga nao umewakumba vijana.
Nasikitika

Chorus:
nasikitika nasikitika aaa
Watumishi wa Mungu wanasahau zamu zao ooh
Wanaingia mitego hiyo hawatambui ii
Wangetambua wangekemea kwa nguvu zotee ee


Wengi wao wamezishupaza shingo zao 
Wanajua haya yanamchukiza muumba
Mungu naye kawapa kisogo,
nao wanadhani  kuwa ni salama
 wuwuwuu  wuuwuuwu uuuu

Hasira yake Mungu itakapowaka,
Hakuna awezaye kupingana nayo,
Dunia hii akiba ya moto,
itakunjwa kunjwa isibakie
mimi nasikitika

Chorus:
nasikitika nasikitika aaa
Watumishi wa Mungu wanasahau zamu zao ooh
Wanaingia mitego hiyo hawatambui ii
Wangetambua wangekemea kwa nguvu zotee ee

Mababa wengine hawaona haya, Eti wanazini na mabinti zao ooh,
Wasichana nao wanauza miili yao,Wasomi nao wanakula rushwa,
Maaskofu nao wanashindana,Kanisa sasa jukwaa la siasa,
Vijana nao hawana heshima, wanatukana mababa zaoo


Tuamie wapi sayari nyingine, ninasema leo watajalipia wasipojalii wokovu huu wa bure
Watajalipia watajalipia watajalipia

Chorus:
nasikitika nasikitika aaa
Watumishi wa Mungu wanasahau zamu zao ooh
Wanaingia mitego hiyo hawatambui ii
Wangetambua wangekemea kwa nguvu zotee ee

Angalia hizi

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...