matukio burudani injili uimbaji maisha sanaa muziki maigizo habari maajabu vichekesho maendeleo mafanikio uchumi lugha maono mahubiri nyimbo biblia siasa

Jun 3, 2012

GLORIOUS CELEBRATION WAKIMWIMBIA MUNGU KATIKA MKESHA WA KANISA LA KATOLIKI CHARISTIMAC LA UBUNGO SIKU YA IJUMAA


Huu ulikuwa ni mkesha ambao ulijumuisha wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali kwa lengo la kumtukuza Mungu na kumsifu katika kanisa la Wakatoliki waliookoka.

Glorious Celebration waliaalikwa kwaajili ya kumtumikia Mungu kwa njia ya uimbaji. Mbali na uimbaji GC walionekana kuingia katika huduma nyingine ya maombezi hasa pale Paul alipoimba wimbo wa mwimbaji wa Zambia, Ephraim Sekeleti. Wanavyuo walionekana kulia na kububujika kwa machozi.


  Mercy akiiumba wimbo wa Niguse



  Aron alijikita katika kumuimbia Bwana kwa style ya sebene



  Paul alipowagusa watu kwa wimbo wa Usielala wa Ephraim sekeleti ambao uliwafanya wanavyuo kutoa machozi




 Baadhi ya waimbaji kutoka vyuo mbalimbali



 mambo yalikuwa mazuri kwa kweli

Huu ulikuwa ni mkesha ambao ulijumuisha wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali kwa lengo la kumtukuza Mungu na kumsifu katika kanisa la Wakatoliki waliookoka.

Glorious Celebration waliaalikwa kwaajili ya kumtumikia Mungu kwa njia ya uimbaji. Mbali na uimbaji GC walionekana kuingia katika huduma nyingine ya maombezi hasa pale Paul alipoimba wimbo wa mwimbaji wa Zambia, Ephraim Sekeleti. Wanavyuo walionekana kulia na kububujika kwa machozi.

source; http://www.rumaafrica.blogspot.com/

Angalia hizi

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...