matukio burudani injili uimbaji maisha sanaa muziki maigizo habari maajabu vichekesho maendeleo mafanikio uchumi lugha maono mahubiri nyimbo biblia siasa

Sep 24, 2013

JOSEPHINE MINZA NKILA ALIZINDUA DVD YA MAISHA YA IBADA 22/9/2013 CCC UPANGA DAR ES SALAAM

PICHA NA BAADHI YA MATUKIO KATIKA SIKU YA UZINDUZI PALE CCC UPANGA DAR ES SALAAM.



Wanakamati walioandaa shughuli nzima wanatambulishwa ukumbini ccc upanga

DFD
Wanakamati wakiwa kwenye jukwaa

kwaya ya Magomeni vijana AICT wakifanya mashambulizi kwa shetani na nyimbo yao mpya ya Thamani yangu kwa Bwana naijua. hawa ni vijana tupu hakuna mzee hapa ni kazi mbele kwa mbele.

kwaya ya AICT magomeni hawakukosa. waliiimba vizuri. hii ni kwaya kongwe sana ambayo ndani yake ina wakina dada ma solo wazoefu mmojawapo akiitwa Mercy Nyagaswa ambaye alishawahi kutoa album yake binafsi miaka ya nyuma.


hapa mwanamuziki wa nyimbo za injili akimpa Mungu utukufu

Wazazi wa Josephine Minza wakifuatilia kwa makini uzinduzi wa binti yao. Matunda ya malezi bora ni chanzo cha haya yote.


Vijana hatari sana hawa wakipiga sebene moja matata mno stegini. walianza kama vile taratibu ila baadae ukumbi wote ulisimama.

CCC upanda watu walikuwa wengi siku hiyo

Sebene ikipigwa
Mungu akimtumia kijana wake katika nyimbo yake nzuri inayoitwa Ni kwa neema tu. Jina lake kijana huyu machachari ni Mwaisabite Edson
MINZA JUKWAANI AKIWAKILISHA 


 
hapa tunaona collaboration kati ya minza na back vocalist wake

Mgeni Rasmi akizindua album hapa pembeni kushoto ni Mwalimu wa minza anayempa mawazo na theme ya DVD yake ya maisha ya ibada ambaye ndiye alitoa neno siku hiyo. wakati kulia ni wazazi wa minza.
MAISHA YA IBADA

Angalia hizi

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...